Shamba zuri sana linauzwa kibaha mpiji, ni kilomita 10 toka morogoro road
loc :kibaha mpiji
area : ekari 10
price : mil 8 kwa kila eka moja na zinakatwa kuanzia ekari 10
umiliki :karatasi ya serikali ya mtaa.
eneo lilipimwa viwanja,, unaweza kuendeleza huo mradi au kufanya jambo lingine,, eneo linatazama barabara inayoenda mpiji station na ni kiloma chache tu kutoka mpiji station
_________________________________________
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
email
insta
facebook: excela joshua
__________________________________________________________________
hii sio ya kuikosa, ... ! karibu ukague utupe offa yako... .
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30
(shd)