Viwanja vinauzwa,kibaha kwa mfipa ,jirani na chuo kipya Cha uongozi cha mwalimu Nyerere,
Vimebaki viwanja viwili.
Kila kiwanja kimoja milioni 4 na nusu,ukubwa wa kiwanja kimoja ni squire meter 400
Umbali km 1 na nusu toka morogoro road,unatembe kwa miguu