Ni Viwanja Vilivyopimwa Kwa matumizi ya Makazi na biashara Vinauzwa na Property Investors Company (PIC) vikiwa na sifa:
Viwanja vipo umbali wa Kilometres 2.5 toka Morogoro road
Huduma muhimu kama maji,umeme vimefika tayari na njia zinapitika kipindi chote
Bei ya Viwanja hapa ni kuanzia million 2.5 na kuendelea
Ukubwa wa Viwanja eneo hili ni kuanzia SQM 300 na kuendelea mpaka SQM 700
Utachagua ununue Kwa cash ama Kwa installment yaan kidogo kidogo
Siku za Kutembelea site ni kila Jumatano, Jumamos na Jumapili bila gharama yoyote ile.
Tuna miradi mingine maeneo ya Pangani Kibaha,Mashamba Fukayosi Bagamoyo,Kerege Bagamoyo,Mabwepande,Mbutu Kigamboni, Goba,Bunju,Madale Mivumoni, Mwembe Mdogo Kigamboni
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza, Katambe Street opposite na kanisa Anglikana