Heka 7.5 zinauzwa
zipo kibaha madafu mita 60 kutoka lami ya morogoro road lami ya moro road unaiona na magari yanayopita unayaona.
bei milion 420 mazungumzo yapo.
eneo zuri linafaa kwa matumizi ya yadi,kujenga kiwanda,parking ya magari,kujenga shule au chuo,kujenga hospital,kujenga kiwanda
umeme upo hapo karibu pia kuna maji ya dawasa yapo hapo karibu