*secondary school inauzwa kibaha*
moko 2023 imekuwa 3 kimkoa.
shule ipo kibaha ipo km 7 toka main road.
eneo la shule ni ekari 5 lote limezungushiwa na fensi ya ukuta.
*bei shilingi bilioni 3*shule ni ya bweni (boys) only, idadi ya wanafunzi 177, ada kwa mwaka ni 3,000,000.
majengo yapo mengi nimetuma machache.