*Eneo lenye Hostel za Wanafunzi linauzwa Kibaha-Miembe saba*
*Distance* Ni Mita 700 kutoka Morogoro road.
-Eneo lina jengo la vyumba 55 kati ya 33 wanakaa wanafunzi na vyumba 22 havijaezekwa.
-Kodi ni Shs 60,000 kwa mwezi ukifanyiwa maboresho kodi ni zaidi.
-Plot size Sqm 2000
-Title deed ipo
*Bei shilingi milioni 170 maongezi yapo*