Kiwanja kipo mikwambe kigamboni karibu na shule ya al hekima boys
umbali kutoka main road ni mita 500
ukubwa wa kiwanja ni sqm 600
bei ni milion 45 maongezi kidogo
majirani wamejenga
barabara safi
kiwanja kimepimwa na kina hati
mmiliki mwenyewe ndo anaeuza
nipigie