Eneo la Ekari 19 zinazogusa Ziwa Manyara zinauzwa Mto wa Mbu-Arusha
Distance Kutoka Barabara ya Makuyuni-Karatu kwenye site ni KM 3
Matumizi Kujenga Lodge au Hoteli ya kulaza Watalii
-Eneo linagusa ziwa Manyara ambapo kuna Viboko wengi sana kama kivutio kwa watalii.
-Eneo linapita wanyama Tembo, Nyumbu, Twiga, Zebra, Simba na Viboko wa ziwani
-Document: Hati ipo (Title deed)
Bei shilingi milioni 15 kwa Ekari moja maongezi yapo