*Shamba la Ekari 500 linauzwa Kabuku WILAYA ya Handeni, Tanga*
Distance: Shamba lipo umbali wa kilometer 5 kutoka barabara kuu ya Dar to Arusha/Tanga
Shamba lina miti ya matunda ya miembe ambayo inazaa tayari
Shamba ni tambarare na lina udongo wenye rutuba na linaweza kubadilishwa kwa matumizi mengine yoyote
Shamba lina visima vitatu virefu vya maji
Shamba lina Godown, pia lina umeme hadi ndani ya shamba.
Plot size Ekari 500
Document: Title Deed
*Bei shilingi Bilioni 1.5 maongezi yapo*