Nauza shamba ekari 1500
lilikuwa linatumika kwa ufugaji wa ng'ombe wa kisasa wa maziwa(linafaa pia kuweka ranch ya mifugo) lina nyumba za makazi yenye vyumba vya kulalaukinunua unapata trekta na miundombinu mingine
ukinunua unapata ng'ombe 110 wa maziwa wenye uwezo wa kutoa lita za maziwa 250 per day
linafaa kwa kufuga, kulima parachichi, hotel za kitalii , kupanda miti kulima hati na documents zingine zote za umiriki zipo.
barabara ya uhakika mpaka shambani ipo.
lipo mkoa wa iringa na kilomita 40 kutoka iringa town
bei ni bilioni 1.8
kwa mtu yoyote anahitaji kuona video za shamba nitafute inbox