Viwanja hivi vipo Vikindu,vianzi meter chache toka barabara kuu itokayo vikindu kwenda buyuni kigamboni ambayo ipo chini ya Tanroad na kwa sasa inatengenezwa kwa kiwango cha lami.
Wahi sasa eneo lako maana maeneo haya yanakua kwa kasi sana na bei zinapanda kila kukicha.
Karibu