Domestic Sewage, Rain Water Drainage, Electric Supply, Car Parking, Gas Supply
Facilities
*shule inauzwa*
kuna shule inauzwa ipo chamazi wilaya ya temeke. ipo maeneo ya chamazi magengeni dar es salaam na ina vitu vifuatavyo:-
-ina vyumba 12 vya madarasa
-ina jengo la utawala na maofisi
-ina bwalo kubwa
-ina nyumba 2 za walimu
-ina hosteli 2 za boys na girls
-ina zahanati ya shule
-ina kisima cha maji kirefu cha kisasa
ina. umeme
-ipo maabara nzuri
-ipo maktaba
-jiko
-ofisi za walimu.
-ipo katika eneo la hekari 15.
-inafikika vizuri kwa gari, ni umbali wa kiasi mita 500. kutoka main road.
bei ... ni 3. bilioni *lakini kwa sasa natoa offer 1.8bl.*