**mashamba* *yanauzwa kisarawe... *
*
*mkoa wa pwani* ...
*wilaya ya kisarawe .*
*kata ya mafizi ... *
*kijiji cha gwata... *
*kuna heka zaidi ya* *160+... *
*mashamba haya* *maalum kwa kilimo* *chochote kile... *
*kama* *mpunga,nyanya,pilipili* ... *vitunguu... mahindi* ... *ufuta... nk*
*shamba* *limezungukwa na* *mto ruvu maji yapo* *ya kutosha* ...
*bei heka 30 ni million* *50* ...
*haya mashamba* *yametengwa kwa* *kilimo tuuu*
*biashara zote* *maongezi yapo* *kidogo*
*malipo ya* *installment pia* *yanapokelewa*