*Zahanati inauzwa Gongo la Mboto*
-Umbali kutoka lami ya Gongo la Mboto ni KM 2.8
-Ina kila kitu ndani, na maanisha vifaa vyote vipo.
-Chumba cha Daktari -2, Chumba cha Sindano, Chumba cha upasuaji mdogo, chumba Cha mapumziko Wanaume na wanawake, Stoo ya dawa, Jumla ya vyumba 9
-Kuna kajumba pembeni kwa ajili ya clinic ya Baba, Mama na Mtoto (RCH).
-Jiko la kuchomea Sindano na takataka za hospitali
*Furniture zote za Hospital zimo, Delivery bed, meza, viti, mabenchi ya wagonjwa wanaposubiri.*
-Plot size Sqm 900
-Document ya mauziano ya Serikali ya mtaa
*Bei ni shilingi 170 Milioni maongezi yapo*