Eneo la Viwanda, biashara na yard, lenye ukubwa wa heka 5 sawa na sqmita 21,000 linauzwa Bilion 1.5 lipo mkoa wa pwani Kibaha misugusugu, linatazama barabara kuu ya Morogoro, panafaa kuwekeza biashara za aina mbalimbali, kama vile Viwanda, sheli, yard na kuendelea./ Romeni John. Nb, eneo limepimwa Lina hati miliki kutoka wizara ya ardhi, Title deed, full documents.