Eneo la kibiashara lenye ukubwa wa sqmita 420 linauzwa milioni 350,000,000/ linafaa kujenga apartment za wapangaji, hostel za wanafunzi, nk... lipo Kinondoni Victoria, linatazama barabara ya lami, huduma zote za kijamii zipo karibu na eneo hili, Nb, bei ni maelewano/ Romeni John/ Sele.