*Shamba la Ekari 121.7 linauzwa kata ya Galapo Kijiji Cha Endadoshi-Manyara*
*Distance* Kutoka Babati mjini mpaka Shambani ni 36 km
Shamba lote ni tambarare hakuna pori ndani kuna Nyumba ya msimamizi wa shamba na choo chake
Shamba linakubali kilimo cha Mahindi, Mbaazi, Dengu, Maharage, Vitunguu n.k
Shamba limetoka kwenye mavuno ya Kilimo Dengu, Maharage.
Shamba lina udongo mweusi unaokubali mazao yote.
Plot size Ekari 121.7
Document: Title Deed
*Bei shilingi milioni 1.2 kwa kila ekari moja*
zain