Viwanja vinauzwa na Property Investors Company Ltd, vina sifa zifuatazo:
Viwanja vipo km 1.5 toka Barabara ya lami.
Huduma zote za kijamii zipo karibu
Viwanja vimeshapimwa tayari Kwa kupata Hati.
Malipo ni cash au Kwa awamu.
Vipo vya ukubwa mbalimbali kuanzia SQM 492 na kuendelea.
Lipia kidogo kidogo mpaka unamaliza.
Kutembelea site ni kila siku na hakuna kuchajiwa.
Tuna miradi mingine ya viwanja maeneo ya Mbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mwongozo,Pangani Kibaha, Misugusugu Kibaha,Madale, Bunju, Vikawe Kimele(Baobab), Vikawe Mpiji, Vigwaza... Dodoma tuna viwanja maeneo ya Iyumbu,Chamwino Ikulu,Mtumba, Vikonje B kwa mzungu, Kitelela,Mahoma Makulu, Chidachi, Ihumwa, Nala Ringroad, Nala Chihoni... Mwanza tuna Viwanja maeneo ya Kisesa.
Ofisi zetu Dar es Salaam zipo nyuma ya Ubungo plaza na Dodoma tupo Capital City Mall