Kiwanja kizuri sana kiko ndani ya fence kinauzwa, kwa wale wa apartment hiki kinafaa sana. kiko madale kwa kawawa
umbali toka main road ni mita 150 tu
ukubwa ni sqm 915
bei: tsh milioni 130
umiliki: mkataba wa mauziano, kimepimwa hati bado
mawasiliano
piga, whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: