Minja real estate & Car Broker inakuletea:-
Utangulizi:-
Kiwanja kinauzwa Madale Mikoroshini na kina nyumba mbili gambapo zina chumba na sebule nne, na kina Banda la kuku.
Ukubwa wa eneo:-
Sqm 1200.
Umbali kutoka lami:-
Mita 200.
Document:
pamepimwa tu hati bado, kuna deseni ya makazi.
Bei:-
Mil 100 tu.
Mengineyo:-
Kama una eneo unauza nicheki tusaidiane kuuza au kama unahitaji eneo sememu yoyote Tanzania hii nijulishe, hata mashamba.
MUNGU BARIKI KAZI YA MIKONO YANGU.