Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa
apartment hii ina sifa zifuatazo
# chumba master kikubwa
#sebule kubwa
#sehemu ya jiko kubwa
#public toilet
#luku inajitegemea
#bili ya maji imeunganishwa moja kwa moja kwenye kodi na maji dawasa yanatoka ndani masaa 24
bei
ilipwe laki 2 na elfu 20 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo mbezi mwisho njia ya kuelekea goba na kutoka goba road hadi kwenye nyumba ni dk 7-8 kwa miguu
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja