Ni Viwanja vizuri kwa makazi na biashara.
Vipo karibu na chuo cha IFM kinachojengwa.
Viwanja vimepimwa na utapata hati Kwa jina lako.
Viwanja vipo umbali wa Kilometre 15 kutoka Dodoma mjini.
Viwanja hivi vipo umbali wa Kilometre 4 kutoka Singida road.
Unaweza lipa cash au Kwa mkopo.
Bei yetu ni nafuu sana,yaani 2,500/SQM
Viwanja vinaanzia square meter 400(20 kwa 20) na kuendelea.
Site tunatembelea kila siku.
Tuna miradi mingine ya Viwanja maeneo ya Nala Chihoni, Chidachi, Njedengwa, Kitelela, Mahoma Makulu, Ihumwa Elshaadai, Iyumbu, Chamwino Ikulu, Mtumba, Itega.