VIWANJA VITATU (3) VYA MAKAZI VINAUZWA IYUMBU
-viwanja vipo mtaa wa nyerere
-ukubwa wa viwanja ni
1. 31x22 = Sqm 706
2. 36x20 = Sqm 720
3. 25x18 = Sqm 461
-viwanja vyote vimepimwa
-umeme, maji na barabara vipo
-bei ni kuazia ml 5 inategemeana ukubwa wa kiwanja
-ruksa kununua kimoja au vyote
-maongezi yapo
-viwanja vipo jirani na barabara kubwa ya gari