Viwanja vipo jirani na kinapojengwa chuo cha IFM.
Viwanja Vipo umbali wa Kilometre 4 kutoka
Singida road na Kilometres 15 toka Dodoma mjini.
Bei ni 2,500/SQM
Viwanja vimepimwa tayari na utapata hati yenye jina lako kamili.
Malipo ni cash au Kwa awamu ya mpaka miezi 12.
Vipo Viwanja vya ukubwa mbalimbali
Site visit ni kila kitu
Miradi mingine ipo Nala Chihoni,Mtumba, Ihumwa Elshaadai, Itega, Chamwino Ikulu, Iyumbu, Kitelela, Mahoma Makulu, Chidachi, Njedengwa... Misugusugu Kibaha, Pangani Kibaha, Mapinga Bagamoyo, Kisota Kigamboni, Mbutu Kigamboni,Cheka Kigamboni, Chekeni Mwasonga Kigamboni.
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall