Viwanja hivi ni kwa ajili ya makazi, biashara na taasisi.
Nunua kiwanja eneo lenye thamani zaidi kwa sasa na litakalokufanya upate thamani ya ardhi kwa miaka mingi ijayo.
Viwanja vimepimwa na utapata hati kwa jina lako.
Site tunatembelea kila siku
Wahi sasa kwani viwanja vimebaki vichache.
Malipo ni cash au unaweza lipa kwa awamu.
Tuna viwanja maeneo mengine ya Chamwino Ikulu, Mtumba, Nala Lugala,Nala Chihoni, Chidachi, Njedengwa, Mahoma Makulu, Iyumbu, Kitelela, Ihumwa Elshaadai.