Viwanja vingi sana vinauzwa huku Dodoma kitelela, Msalalato international airport
Viwanja vinauzwa bei nafuu sana
Viwanja ni vipya na maeneo mpya na saizi hakuna makazi sana ya watu.
Viwanja vyote vimepimwa na vina nyaraka zote muhimu za upimaji wake na uhalali kamili.
Viko viwanja vya makazi, biashara
Urban farms, Petrol stations, Industry areas, Godowns