Hii ni Barabara ya mzunguko inayoendelea kujengwa kwa ufanisi Mkubwa hapa Dodoma, Barabara hii inauzunguka Mji mzima Kwa Barabara kubwa ya Mita 150.
Property Investors Company (PIC) tunauza Viwanja vya Makazi, Biashara na taasisi jirani na eneo hili Kwa gharama nafuu Sana.
Maeneo ya Kitelela,Vyeyula,Nala Ringroad,Nala Chihoni, Matumbulu na Mahoma Makulu.
Bei ni kuanzia Million 4 cash, na Million 5 Kwa installment.
Viwanja vimepimwa tayari na utapata hati.
Site visit ni kila siku.
Tuna miradi mingine maeneo ya Chamwino Ikulu, Mtumba, Itega, Iyumbu, Msalato Airport,Chahwa, Chidachi, Njedengwa,Vikonje B.Kwa Dar es Salaam tuna miradi maeneo ya Mbutu Kigamboni, Kisota Kigamboni,Cheka Kigamboni, Chekeni Mwasonga... Misugusugu Kibaha, Vigwaza, Mapinga Bagamoyo, Madale Mivumoni, Bunju Mji mpya.
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza na Dodoma zipo Capital City Mall.
Karibu tukuhudumie