Ni Property Investors Company (PIC) Wauzaji wa Viwanja, wanakuketea mradi wa Viwanja Kitelela Airport wenye sifa zifuatazo:
Viwanja Vipo karibu na Airport mpya inajengwa ya Msalato.
Bei zetu ni nafuu yaani 4,000 kwa square meter moja.
Viwanja vyetu vimepimwa tayari
Viwanja Vipo pembezoni mwa Arusha road.
Kutoka city centre mpaka Kitelela Airport ni Kilometres 15.
Site tunatembelea kila siku hakuna gharama.
Ofisi zetu zipo Capital City Mall.
Tuna miradi mingine ya Viwanja maeneo ya Chamwino Ikulu, Mtumba,Nala Chihoni,Nala Lugala,Itega, Iyumbu, Chahwa, Chidachi, Njedengwa, Vikonje B.