Property Investors Company (PIC) tunawaletea Mradi mpya wa viwanja ndani ya mji wa Mji wa serikali eneo la Mahoma Makulu vyenye sifa hizi:
Viwanja vipo umbali wa km1 Hadi 2 kutoka majengo ya serikali
Viwanja vyetu Vinaanzia inapoishia lami ya mji wa serikali
Viwanja vimeshapimwa tayari na hati ni baada ya kukamilisha malipo
Viwanja vyetu Kwa hapa Bei Vinaanzia million 5 na kuendelea
Vipo vya ukubwa mbali mbali kuanzia SQM 500 na kuendelea
Miradi yetu mingine ya Viwanja ipo Chamwino Ikulu, Mtumba,Chahwa, Iyumbu, Msalato Airport, Kitelela, Nala Chihoni, Nala Ringroad.
Wasiliana nasi Leo tukupeleke site