Viwanja vinauzwa na Property Investors Company Ltd, Mtumba Dodoma vina sifa zifuatazo:
Viwanja vipo jirani na mji wa serikali.
Ni eneo lenye fursa Kwa Makazi na biashara.
Viwanja Vinaanzia SQM 500 na kuendelea.
Unaweza lipia cash au Kwa awamu ya mpaka mienzi 12.
Viwanja vimeshapimwa tayari kupata hati.
Huduma zote za kijamii zipo karibu
Viwanja vimeshapimwa tayari Kwa kupata Hati.
Kutembelea site ni kila siku na hakuna kuchajiwa.
Tuna miradi mingine ya viwanja maeneo ya Chamwino Ikuli, Vikonje B Kwa Mzungu, Chidachi, Kitelela, Mahoma Makulu, Nala Chihoni,Chahwa, Iyumbu, Nala Ringroad... Dar es Salaam tuna Viwanja maeneo yaMbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mwongozo,Pangani Kibaha, Misugusugu Kibaha,Madale, Bunju, Vikawe Kimele(Baobab), Vikawe Mpiji, Vigwaza.Mwanza tuna Viwanja maeneo ya Kisesa.
Ofisi zetu kwa Dodoma zipo Capital City Mall na Dar es Salaam tupo nyuma ya Ubungo plaza
Karibu umiliki kiwanja chako sasa