✓Kiwanja kimezungukwa na nyumba eneo la Chamwino ikulu
✓Kipo Mita chache(400) kutoka barabara kuu ya Dodoma-Dar.
Maji,umeme kama unavyoona,kimebaki hicho Tu,Wahi mapema.
✓Tuna miradi mingine ya Viwanja maeneo ya Kitelela, Nala, Chamwino, Chahwa, Mtumba, Ihumwa, Iyumbu, Itega.
Malipo ni Kwa cash au awamu inakubaliwa.
Viwanja vimepimwa na vina hati.