Mashamba yanauzwa ekari moja ni laki tano tu
- shamba lipo wilaya ya chamwino, kata ya dabaro na kijiji cha chiwondo
- miundombinu kama barabara nzuri ipo, maji ya kisima yapo na umeme upo jirani
- mashamba yanafaa kwa kilimo cha mahindi, alizeti, korosho n.k
- ruksa kununua ekari moja au zaidi
- bei kwa ekari moja ni tsh 500,000/=
simu namba