Viwanja VINAUZWA CHANIKA mjini mtaa wa kibadeni manispaa ya ilala jiji la DSM, UKUBWA WA KIWANJA NI sqm 400 .
viwanja vipo tambalale hakuna bonde
viwanja vipo karibu Sana na huduma za kijamii km vile shule hospital maji umeme na barabara
viwanja vyetu vinafikika kirahisi kwani ni mita chache sana barabara kuu
viwanja vyetu vina hati ya mauziano ya ofisi ya serikali ya mtaa.
bei ya viwanja kuanzia milioni moja na laki nane (1,800,000) mpaka milioni mbili na laki tano (2,500,000) pia unaruhusiwa kulipa kwa awamu 2 mpaka 3
wahi ujipatie kiwanja chako kwa Bei poa usafiri wa kufika eneo la viwanja unapatikana ofisini kwetu CHANIKA mwisho njia panda ya mvuti.
kwa mawasiliano zaidi piga simu namba hizi