Eneo linauzwa chanika Tariani wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam
Eneo lina ukubwa wa square meter 1200.Eneo lina face barabara kuu ya lami ya Gongolamboto kwenda chanika.Poa lina flame za biashara milango 6.
Eneo unaweza kujenga sheli au kitu chengine chochote.pia lipo jerani kabisa na stand.Ni mita kama 50 kuna stand.
Bei yake shilingi milioni 400
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu