Yard inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam.Yard inaangalia barabara kuu ya lami.
Yard imezungushiwa fens yoote.Ndani kuna nyumba (ofisi)
Na eneo la kupumzikia.
Bei yake ni shilingi 2,200,000,000
Yard ina ukubwa wa hekari tatu.