Shamba linauzwa mbagala mbande tambani wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Shimba lina Ekari 8,lina minazi
shamba lipo mjini kabisaa,ni kama linatupwa wadau.Kama mteja upo serious wahi faster
shamba linatupwa
Bei yake shillingi milioni 240
sawa na shillingi milionii 30 kwa hakari moja.
zinauzwa zote kwa pamoja
kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu