SHAMBA LINAUZZWA – MASIMBANI, MIONO, CHALINZE
Fursa ya kipekee kwa wawekezaji, wakulima na wafugaji!
Shamba lenye ukubwa wa hekari 100 linapatikana katika eneo lenye rutuba, linafaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali, ufugaji na uwekezaji wa muda mrefu.
Mahali: Kijiji cha Masimbani, Kata ya Miono, Halmashauri ya Chalinze, Mkoa wa Pwani.
Umbali: Kilomita 13 kutoka Miono.
Sifa za Shamba:
Ukubwa: Hekari 100
Umiliki: Hati ya Kijiji
Udongo wa mweusi na mwekundu wenye rutuba nzuri.
Eneo linafaa kwa kilimo cha mazao ya biashara na chakula pamoja na shughuli za ufugaji.
Mazingira tulivu na yenye fursa nzuri za maendeleo na uwekezaji.
Bei: TSh 300,000/= kwa kila hekari moja.
Usikose nafasi ya kuwekeza kwenye shamba lenye thamani katika eneo linalokua kwa kasi la Chalinze.