Shamba Acre 200 zinauzwa katika kijiji cha mihono
Locton Wilaya ya Chalize vijini unaingilia baada ya kupita mto wami kuna mashamba makubwa kuazia acre 50 mpaka 600 mashamba yanafaa kilimo cha ufuta mihogo machungwa migomba kilimo chamaindi na ufugaji
Acre moja laki 2 tu
Unaweza kuingilia saadani pia