. *Eneo la Ekari 8 linalogusa Morogoro road linauzwa Chamakweza*
*Location* Eneo lipo upande wa kulia ukitokea Dar es Salaam
-Eneo ni lote tambarare
*Eneo linafaa kwa matumizi ya Yard, Kiwanda au Godown*
-Plot size Ekari 8
-Document:Mkataba wa Serikali ya Kijiji
*Bei shillingi milioni 400 maongezi yapo*