Viwanja vinauzwa na Property Investors Company, vina sifa zifuatazo:
Viwanja vipo km4 toka Bagamoyo road
Bei Vinaanzia million 30
Viwanja vizuri na vya kuvutia Kwa ajili ya makazi na biashara
Umeme,maji tayari vimeshafika site
Vipo karibu na hospital ya wilaya na kituo cha polisi cha Mwabepande
Vipo karibu na shule ya secondary ya wasichana Mabwe girls
Viwanja vimepimwa tayari Kwa hati
Vipo vya ukubwa mbalimbali
Malipo ni cash au Kwa awamu
Lipia kidogo kidogo mpaka unamaliza
Kutembelea site ni kila siku na hakuna kuchajiwa
Tuna miradi mingine ya viwanja maeneo ya Mbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mwongozo,Pangani Kibaha, Misugusugu Kibaha,Madale, Goba, Vikawe Kimele Baobab, Vikawe Mpiji, Vigwaza.Dodoma tuna viwanja maeneo ya Chamwino Ikulu,Mtumba, Vikonje B kwa mzungu, Kitelela,Mahoma Makulu, Chidachi, Iyumbu, Ihumwa