Viwanja vinauzwa Bunju B katika eneo linalokua kwa kasi na lenye miundombinu mizuri. Viwanja vina hati halali, vinafikika kwa urahisi na vinafaa kwa makazi au uwekezaji. Bei ni TSh 60,000 kwa mita ya mraba. Fanya maamuzi leo kwani ardhi ni mali inayoongezeka thamani kila siku.
/
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi sasa