IJipatie Mashamba makubwa na Madogo Mkoa wa Iringa yana hati (Title deed) mashamba ya kilimo cha kumwagilia.
1:Eneo Linauzwa
Location Udekwa Ukubwa acre 2000
Njia ya hifadhi ya udizingwa road toka ilula km 44
Bei 500,000/= kwa Acre
Huduma zote zipo barabara safi.Maji mto mkubwa. Eneo liko flat Kwa kulim
2:Shamba acre 40 zinauzwa
Location ilula mbigili barabarani eneo Lina faa Kwa kuweka sheli,viwanda na kilimo Cha umwagiliaji
Shamba lina maji ya visima bei Kwa acre
3:Shamba kubwa linauzwa
Location wotarisori
Ukubwa acre 2000
Shamba lipo km 2 tu toka kijijini bei 500000 Kwa acre
Shamba limezungukwa na mito mikubwa
Picha inbox utazipata
4:Shamba kubwa linauzwa
Loction:ifunda Kijiji magunga
Ukubwa :Acre 3000
Sifa:
Shamba lina hati za kimila
Shamba Tambalale lote
Shamba lina mito 2