Shamba linauzwa lipo kijiji cha bago kata ya kiwangwa wilya bagamoyo mkoa pwani umbali kutoka lami kilometa moja barabara safi mpaka shamba zipo heka kumi vipo tamba lale bei sh milioni tatu kwa heka zina hati miliki ya kimila kalibuni sana kiwangwa yenye neema asanteni sana