Mashamba haya yanauzwa na Property Investors Company (PIC) yakiwa na sifa zifuatazo:
Yapo umbali wa km6 toka kituoni fukayosi
Kutoka Bagamoyo mjini ni umbali wa km30
Yapo karibu na makazi ya watu,na njia zinapitika kipindi chote
Yanaanzia ukubwa wa hekari moja na kuendelea,ukinunua Tunakupa Hati ya kijiji
Bei Kwa hekari moja Kwa cash ni Million 1.5,na Kwa installment yaani Kwa malipo ya kidogo kidogo kwa hekari moja ni Million 1.9
Siku za Kutembelea ni kila Jumatano, Jumamos na Jumapili
Pia Tuna miradi ya Viwanja maeneo ya Kerege Bagamoyo,Bunju, Madale,Mabwepande,Makurunge Bagamoyo, Misugusugu Kibaha,Pangani Kibaha,Mbutu Kigamboni,Mwembe Mdogo Kigamboni
Fika ofisini kwetu zilizopo nyuma ya Ubungo plaza, Katambe Street opposite na kanisa la Anglikana