Mradi wetu uliopo KEREGE BAGAMOYO ni moja kati ya Mradi wa Bei rafiki Sana, na uliopo Katika mazingira mazuri na rafiki kwa Makazi, Biashara na taasisi mbalimbali.
Mradi umezungukwa na Makazi ya watu,na huduma muhimu za kijamii maji,umeme
Ardhi yake ni ya kichanga na tambarare kabisa ndiyo panafanya pawe ni sehemu sahihi kwako.
Mradi upo karibu na Barabara Kwa umbali wa Mita 900 Tu kutoka Bagamoyo road.
Barabara za mitaa zimechongwa tayari,zinaoneekana na kupitika vizuri
Viwanja hivi Vimepimwa tayari,na Bei ni kuanzia sh million 5.6
Tunakupa machaguo ya kulipa Kwa cash na installment yaani kidogo kidogo mpaka mienzi 12