Yanauzwa na Property Investors Company (PIC) ,yapo eneo la Fukayosi Bagamoyo:
Umbali wa km6 toka kituo cha Fukayosi
Udongo wenye asili ya kichanga,unaokubali mazao mbalimbali
Ni kuanzia heka moja na kuendelea,lipo eneo la kutosha
Bei Kwa heka moja Kwa cash ni 1,200,000/= ,na Kwa Mkopo Bei Kwa heka moja ni 1,500,000/=
Kutembelea Mashamba ni kila Jumatano, Jumamos na Jumapili bila gharama yoyote
Tuna viwanja Vilivyopimwa maeneo ya Kerege Bagamoyo,Makurunge Bagamoyo,Mbutu Kigamboni,Mwembe Mdogo Kigamboni,Vigwaza Kwala,Misugusugu Kibaha,Bunju,Madale,Mabwepande,Goba
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza, Katambe Street opposite na kanisa la Anglikana.