Tunauza mashamba fukayosi bagamoyo.
Mashamba yapo kilometer 6 kutoka fukayosi center.
Mashamba yote yamepimwa pia yapo eneo zuri na tambarale.
Ardhi yake inastawi mazao ya aina zote pia kunafikika ata msimu huu wa mvua
Bei zake ni nafuu sana na unaweza kulipia kwa cash au kwa awam had miezi 6.
Cash: 1,500,000/=
Awam:1,900,000/= kwa miezi 6
Kutembea mradi wetu ni siku zote mteja akipata nafasi,
Karibuni sana tuwekeze kwenye Ardhi, karibu tuwekeze kwenye kilimo.