Hichi ndo kile kipindi ambacho wengi wetu tunapima kwa kiwango gani tumefikia malengo tulojiwekea kwa mwaka huu. bado una fursa ya kumaliza mwaka na kumbukumbu bora ya kiuwekezaji, wekeza nasi property investors company (pic) kwa kumiliki:
shamba eneo la fukayosi bagamoyo ,kwa bei ya 1,500,000 tu kwa hekari moja.mashamba yapo km5 toka fukayosi stand na km30 toka bagamoyo mjini.
viwanja kerege bagamoyo ,viwanja hivi vipo mita900 tu toka bagamoyo road,ni sehemu nzuri yenye huduma zote muhimu kama maji,umeme, barabara.viwanja eneo hili ni kuanzia million 6 tu
viwanja vigwaza kwala,viwanja hivi vipo karibu na bandari kavu ya kwala ,km6 tu toka vigwaza mizani.kwa bei ya kuanzia million 3 tu unamiliki kiwanja kikubwa kabisa
viwanja mbutu kigamboni, ni viwanja vizuri vilivyopimwa kwa makazi,vipo km4 toka dege kwa bei ya kuanzia millions6