MRADI MPYA!!
BAGAMOYO - MAPINGA SHULE.
-Ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-Umbali ni 300m kutoka barabara ya lami.
-Huduma za kijamii kama maji,umeme,shule zinapatikana kwa karibu sana.
-Neighbourhood yake inavutia sana,watu wamejenga na wanaishi safi.
-Viwanja vimepimwa na barabara za mtaa zimechongwa.
-Ukimaliza malipo unapewa hati.
NJIA ZA MALIPO.
Mteja unaweza lipa cash ama ukaanza na asilimia 50 na inayobaki utamalizia kidogo kidogo.
#SITE VISIT ni KILA SIKU.
KARIBUNI SANA