*Shule yenye Nursery na Primary ina Bweni inauzwa mjini Bagamoyo*
-Shule ina shule ya awali na kuanzia darasa 1-7 ambapo ina Mabweni na wanafunzi Day.
-Majengo yapo yakutosha.
*Shule inafanya kazi na imesajiliwa*
-Plot size Ekari 10
-Title Deed
*Bei shilingi maongezi yapo*